Solomon Mukubwa - Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele Lyrics

Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele Lyrics

Biblia yasema waabudio Bwana wataabudu katika roho na Kweli, na ni wakati huu ukiwa ndani ya gari lako ukiwa ndani ya Basi unasafiri, ukiwa unafanya kazi ndani ya ofisi yako, jiunge pamoja nami tumwinue tumwambie wastahili uko mwenye nguvu. Ikiwa uliamka asubuhi na hukumwambia kitu Mungu ni wakati wa kumwambia utukuzwe, uinuliwe, jiunge pamoja tumwambie wastahili. Ikiwa unakuwa kwenye maombi ya kufunga na kuomba hebu jiunge pamoja nasi, twende...

Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
eeh ni MWenye Nguvu, Ebenzer Baba wa milele
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
Ehe wanipa mema, Baba wa milele yote
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele
Nguvu zako zashangaza dunia
uliumba mbingu pasipo nguzo hewani Baba
Mungu wetu mwenye nguvu Baba wa milele

Uko mwema Bwana matendo yako ni ya ajabu sana
Neema yako fadhili zako kila asubuhi
Ni mpya tena zanifajiri Mungu niamu kapo
Nikosewa na maisha wanipa tumaini la kupata maisha
Wajapo nicheka majirani wangu wewe ni kwa upande wangu
Ooh Baba, Neema yako fadhili zako kila asubuhi
Ni mpya tena zanifajiri Mungu niamukapo
Wanipa tumaini la Maisha Baba yangu duniani
Natembea nawe Baba yangu hujaniacha mimi
Neema yako fadhili zako kila asubuhi
Ni mpya tena zanifajiri Mungu niamukapo
Kulala kuamuka ni kwa neema yake Mungu ndugu yangu
Ulimupa Mungu nini wewe, usione jinsi ulivyo,
usijivune vune ni neema yake Mungu
Neema yako fadhili zako kila asubuhi
Ni mpya tena zanifajiri Mungu niamukapo

Nani kama wewe Mungu, sina mwingine kama wewe
Mfalme wa dunia ni wewe, mwanzo na mwisho ni wewe
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Daddy Daddy, Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Rafiki yangu I love you, I love you, I love you Baba yoo
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Maneno yako yafungua watu, yafungua waatu
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Sitasahau ulikonitoa umenitoa mbali, umenitoa mbali
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Rafiki yangu nakupenda sana, nakupenda sana
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Maneno yako yana nguvu sana, yana nguvu sana
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Kwa neno lako lazaro kafufuka, kafufuka
Baba utukuzwe Baba uinuliwe
Oh Baba, Oh Baba, Oh baba


Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele Video

Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration


Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele is a popular Swahili worship song performed by Solomon Mukubwa, a renowned gospel artist from Kenya. The song is a powerful expression of worship and adoration to God, acknowledging His strength, goodness, and faithfulness.

Meaning of the Song:
"Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" can be translated to "Our Powerful God, Eternal Father" in English. The song is a declaration of praise and worship to God, recognizing His supremacy, might, and everlasting nature. It reflects the desire of the worshipper to honor God and exalt Him above all else.

The song emphasizes the significance of worshiping God in spirit and truth, as mentioned in John 4:23-24: "Yet a time is coming and has now come when the true worshipers will worship the Father in the Spirit and in truth, for they are the kind of worshipers the Father seeks. God is spirit, and his worshipers must worship in the Spirit and in truth."

Inspiration and Story Behind the Song:
While the specific inspiration and story behind "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" may not be widely known, the song carries a timeless message that resonates with believers across cultures. It draws from the deep well of biblical truths and the personal experiences of the songwriter, Solomon Mukubwa.

The song's lyrics reflect Mukubwa's heart of worship and his desire to lead others into the presence of God. It is through the personal encounters with God and the understanding of His character that songs like "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" are birthed. The song serves as a reminder of the eternal nature of God and the power that He holds.

Biblical References:
1. John 4:23-24 - "Yet a time is coming and has now come when the true worshipers will worship the Father in the Spirit and in truth, for they are the kind of worshipers the Father seeks. God is spirit, and his worshipers must worship in the Spirit and in truth."

This verse highlights the importance of authentic worship that is rooted in the truth of who God is. It encourages believers to worship God not just with external rituals but with a genuine heart and spirit.

2. Psalm 95:1-2 - "Come, let us sing for joy to the Lord; let us shout aloud to the Rock of our salvation. Let us come before him with thanksgiving and extol him with music and song."

The psalmist invites believers to come together in joyful praise and worship, acknowledging God as the Rock of their salvation. This mirrors the exuberant spirit of "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" as it urges worshippers to join in singing and extolling the Lord.

3. Psalm 100:1-2 - "Shout for joy to the Lord, all the earth. Worship the Lord with gladness; come before him with joyful songs."

This psalm encourages all the earth to shout for joy and worship the Lord with gladness. It echoes the call of "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" to worship God wholeheartedly and joyfully.

4. Psalm 96:9 - "Worship the Lord in the splendor of his holiness; tremble before him, all the earth."

This verse emphasizes the holiness of God and calls for reverence and awe in worship. It reminds believers of the need to approach God with humility and respect, which is reflected in the lyrics of "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele."

Conclusion:
"Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" is a powerful worship song that exalts and glorifies God. Through its lyrics, believers are reminded of the eternal nature of God, His strength, and His faithfulness. The song invites worshippers to join in adoration and honor of the Almighty, acknowledging His supremacy and worthiness of praise.

As believers, we are called to worship God in spirit and truth, with joyful hearts and genuine reverence. "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" serves as a beautiful expression of this worship, drawing inspiration from biblical truths and personal encounters with God.

May this song continue to uplift and inspire believers to worship and adore God, declaring His greatness and proclaiming His name to all the earth. Let us join together in praising the "Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele" and giving Him the honor and glory that He deserves. Mungu wetu Mwenye Nguvu Baba wa milele Lyrics -  Solomon Mukubwa

Solomon Mukubwa Songs

Related Songs